
03. 3 disciples – mic gower текст песни
[intro mic gower]
yeah! its your boy gower
remission you know we got it
[verse 1 sir mbezi]
ningeweza kuwa mvuvi, maisha yangu kwenye maji
ila mungu kanitunuku, kwa kunipa hiki kipaji
sijafungua chapter, ndo kwanza niko dibaji
maneno ya kuwa hasa, tusiishi ili mradi
na good ndani kristo, good siogopi kifo
w-ngapi wamepotea, mie bado nipo
sababu niko nae, niko ambae niko
wanashangaa kitu gani, ninasema
hawajui nikifa leo, nitaishi tena
yaan zaid ya mbele, am forever young, coz ntaishi milele
sipotezi muda, mi so yuda disign
zaid ya , record deal kwa yesu nimesha sign
hakunaga jipya, teyari nimesha buy
ndo maana mi disiciple, niko safe niko fiiineee
ndo maana mi disiciple, niko safe niko fiiineee
[chorus d.m.y]
injili kwanza mengine yatafta
tushakula kiapo kwamba kristo tutamfta
3 disciples tuna run this town
[verse 2 mic gower]
nimeanza rap , mwanzoni kabla sijaokoka
sikudhani shetani kama nitamshinda
najua ilikua taff, ukiplas ma peer pressure
mambo mengii niliopata huru kweli skuitaka
dear christian, usione kama watu hapendi
maybe wapo kama wale, wanajali si vya msingi
unahitaji kuamini, na sijamaanisha dini
ni mungu alie hai, yule aliontoa mi gizani
sasa nimeokoka, wananiita mlokole
nashukuru kanipa rap, ili nitangaze injili
kanipa bonge la clique, nisije potea vumbuni
kwa umaarufu wa mziki , na tamaa za kimwili
nimejawa graceeee
mungu w-ngu mwanzo na mwisho
line zangu, life yangu
kukiri kw-ngu, ndo wokovu w-ngu
amenichange yesss
r4c, bado inachange mziki
r.i.p bongo fleva, mziki wa yesu winning team
amenifia msalabani, niogope msala gani
siku ya 3 kafuf-ka , shetani kw-ngu bye bye
shetani kw-ngu bye bye..
chorus
[verse 3 g stanna]
am a disciple jembe la bwana shamba mkulima
kwake mavuno ni mengi watendaji fanya hima
mi ni…shaanza lima…kwa mistari yenye vina
na jumbe zilizosheheni ukweli tena kwa kina
nilipotoka ni shida, giza totoro
full noma, miba, milima visa na makorongo
maisha ya msoto, maji moto, just sorrows
no kitanda…..usiku kucha mi na vigodoro
namfuata aliyeniokoa toka gizani
aliyenitoa kifoni na kunileta mi uzimani
anayenipa amani, furaha isiyo kifani
maji ya uzima fanya hima njoo kisimani
amenifanya chumvi, pia nanu
full mbawa kama tai bye bye ukunguru
nipo huru…nafwata nyayo zake bila udhuru
sina hofu coz yu nami even through the tanuru (g- stana)
случайный
- money – powers текст песни > powers текст песни
- shadow in the rain – 404 текст песни > 404 текст песни
- por fin te encontré – cali y el dandee текст песни > cali y el dandee текст песни
- pro-zombie – die ärzte текст песни > die arzte текст песни
- intro (dysfunctional) – yt triz текст песни > yt triz текст песни
- outlaw – danny cainco (fortune remix) текст песни > danny cainco fortune remix текст песни
- lost and found – triaz текст песни > triaz текст песни
- money over everything – project pat, keak da sneak, & kafani текст песни > project pat keak da sneak kafani текст песни
- tungsten 4: the refugee – the besnard lakes текст песни > the besnard lakes текст песни
- maloqueira – newera br текст песни > newera br текст песни
- let’s start something – ted poley текст песни > ted poley текст песни
- a love before (사랑 앞에서) – jeong eun ji текст песни > jeong eun ji текст песни
- what i’m sayin’ – t. bailey текст песни > t bailey текст песни
- windows up – saucalini текст песни > saucalini текст песни
- harvin aine – dj kridlokk текст песни > dj kridlokk текст песни
- wszystko wporzo – molesta текст песни > molesta текст песни
- game plan – ojivolta текст песни > ojivolta текст песни
- stone cold – t3tri текст песни > t3tri текст песни
- pilgrim’s journey – peacemakers текст песни > peacemakers текст песни
- hep kahır – cem karaca текст песни > cem karaca текст песни